HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, September 7, 2022

NBAA YATOA MAFUNZO KWA WAKUFUNZI WA VITUO VYA KUFUNDISHIA WATAHINIWA WA BODI

 


Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Profesa Sylvia Temu akizungumza na Wakufunzi wa Vituo vya Kufundishia Wanafunzi wanaotarajia kufanya mitihani ya Bodi ikiwa ni maadhimisho ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwa Bodi hiyo Mwezi Novemba mwaka 1972 ambapo kilele chake ninatarajiwa kufanyika Novemba 28, 2022.Meneja wa Idara ya Elimu na Mafunzo, Peter Lyimo akizungumza jambo pamoja na kumkaribisha mgeni rasmi Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Profesa Sylvia Temu kwa ajili ya kufungua kikao kazi cha Wakufunzi wa Vituo vya Kufundishia Wanafunzi wanaotarajia kufanya mitihani ya Bodi ikiwa ni maadhimisho ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwa Bodi hiyo Mwezi Novemba mwaka 1972
Baadhi wanafunzi wanaotegemea kufanya mitihani ya Bodi, Wakufunzi pamoja na wafanyakazi wa Bodi wakisikiliza hotuba ya Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Profesa Sylvia Temu wakati wakufungua semina kwa Wakufunzi wa Vituo vya Kufundishia Wanafunzi wanaotarajia kufanya mitihani ya Bodi ikiwa ni maadhimisho ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwa Bodi hiyo Mwezi Novemba mwaka 1972 iliyofanyika kwenye ofisi za Bodi hiyo jijini Dar es Salaam.
Afisa wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), Humphrey Symphorian akizungumza jambo kwenye semina ya Wakufunzi wa Vituo vya Kufundishia Wanafunzi wanaotarajia kufanya mitihani ya Bodi ikiwa ni maadhimisho ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwa Bodi hiyo Mwezi Novemba mwaka 1972.
Semina ikiendelea 
Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Profesa Sylvia Temu(kulia) akifuatilia mada mara baada ya kufungua ya kikao kazi cha Wakufunzi wa Vituo vya Kufundishia Wanafunzi wanaotarajia kufanya mitihani ya Bodi ikiwa ni maadhimisho ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwa Bodi hiyo Mwezi Novemba mwaka 1972 ambapo kilele chake ninatarajiwa kufanyika Novemba 28, 2022.
Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Profesa Sylvia Temu(katikati aliyekaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Bodi hiyo pamoja na Wakufunzi wa Vituo vya Kufundishia Wanafunzi wanaotarajia kufanya mitihani ya Bodi ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwa Bodi hiyo baada ya kufungua kikao hicho.
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (​NBAA), CPA Pius A. Maneno akizungumza wakati wa kufunga mkutano wa Wakufunzi wa Vituo vya Kufundishia Wanafunzi wanaotarajia kufanya mitihani ya Bodi ikiwa ni maadhimisho ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwa Bodi hiyo Mwezi Novemba mwaka 1972 ambapo kilele chake ninatarajiwa kufanyika Novemba 28, 2022.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad