Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Capt.Khatib Khamis Mwadini kuwa Naibu Mkuu wa Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo (KMKM) wakati wa hafla iliyofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 21/10/2021.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akiwa amesimama na Viongozi wengine wakati Wimbo wa Taifa ukipigwa na Kikundi cha Brass Band cha Jeshi la Polisi katika hafla ya kuapishwa Viongozi aliowateuwa hivi karibu kushika nafasi mbali mbali za Uongozi hafla iliyofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Balozi Masoud Abdalla Balozi kuwa Katibu wa Rais wa zanzibar -Ofisi ya Rais - Ikulu hafla iliyofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Bw.Suleiman Abdulla Salum kuwa Katibu wa Tume ya Utangazaji hafla iliyofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
[Picha na Ikulu] 21/10/2021.
No comments:
Post a Comment