HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, September 14, 2020

RIDHIWANI KIKWETE AENDELEA NA KAMPENI MDAULA CHALINZE, GOODLUCK MLINGA NAE ATOA CHECHE ZAKE

Uzinduzi wa Kampeni uliofanyika hapo jana Septemba 13 katika kitongoji cha Mdaula Chalinze uliweza kuongozwa na mgeni rasmi ambae ni Mgombea nafasi ya Ubunge kupitia chama cha Mapinduzi CCM, Ridhiwani Kikwete,ambae aliweza kunadi sera zake kwa kuhakikisha jimbo la Chalinze linabaki mikononi mwake kwa kuhitaji wananchi wamachagua yeye ili aweze kuendeleza maendeleo katika Jimbo hilo. 
Mbali na hapo alipanda aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Ulanga katika Mkoa wa Morogoro ndugu Goodluck Mlinga na kutema cheche zake za kuhakikisha anaunga mkono juhudi za chama chake cha mapinduzi nchi nzima kinapata ushindi kuanzia Madiwani, Wabunge mpaka  Mh. Dkt John Pombe Magufuli kwa kupata ushindi mkubwa Katika kinyang'anyiro cha kiti cha urais, hali ya kuwa ndugu Mlinga amepoteza nafasi ya kugombania ubunge kwa awamu hii.



No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad