HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, April 29, 2018

SIMBA YAIBAMIZA YANGA 1-0

Simba wameibuka washindi kwenye mechi dhidi ya mahasimu wao Yanga sasa unawafanya Wekundu Wa Msimbazi kuhitaji pointi 5 kutawazwa mabingwa wa ligi kuu ya Tanzania Bara.
Kikosi cha Timu ya Yanga
Kikosi cha Timu ya Simba




Shabiki wa Yanga akiwa ahamini kilichotokea




Mashabiki wa timu ya Simba wakishangilia kwa furaha mara baada ya ya timu yao kufunga goli

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad