HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, January 10, 2018

TULIJENGA NYUMBA KARIBU NA MTO KWA AJILI YA KUPUNGUZA GHARAMA

Wakazi wa Mbezi waliojenga nyumba zao karibu na Mto Mbenzi wamedai kuwa walijenga nyumba hizo kwa ajili ya kupunguza gharama za kusafirisha mchanga pamoja na urahisi wa ufyatuaji tofali.

Wakizungumza na Michuzi blog wamesema kwao ilikuwa rahisi kujenga nyumba kuliko maeneo mengine.

Aidha wamesema  kuwa kutokana na watu  kuongezeka wanaochimba mchanga  katika bonde la Mto Mbenzi  ndio maana mafuriko yamekuwa yakiwakumba kila mvua inaponyesha.
 Baadhi ya nyumba zilizojengwa  katika bonde la Mto Mbezi. 
Nyumba zikiwa zimejenwa kandokando ya mto Mbezi. Picha zote na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad