Kampuni ya Mwananchi Communications
Limited(MCL), kupitia kampeni maalumu ya
kazeti lake nguli la michezo la Mwanaspoti
katika promosheni ya Zali la Mwanaspoti
imekabidhi zawadi za washindi wa droo ya tatu
wakati wa tamasha kubwa lililofanyika Viwanja
vya Toto Tundu Tabata.
Zawadi zilizokabidhiwa ni pamoja na Tiketi ya
kwenda kushuhudia Ligi Kuu ya Wingereza
Ulaya ,Pikipiki moja, Tv 2, nchi 32, zikiwa na
vingamuzi vyake vikiwa vimeunganishwa na
kifurushi cha mwezi mzima pamoja na simu
2(Smartphone).
Afisa Masoko wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited, Huldermary Munisi(kulia) akimkabidhi Gogfrey Mpiluka zawadi ya Simu ya mkononi(Smartphone) mara baada ya kuibuka msindi wa droo ya tatu ya Zali la Mwanaspoti inayoendelea nchini.Makabidhiano hayo yalifanyika katika katika tamasha lililofanyika Viwanja vya Toto tundu Tabata Dar es Salaam.
Afisa Masoko wa Kampuni ya Mwananchi
Communications Limited, Huldermary
Munisi(kushoto) akimkabidhi Salvatory Mtenga
zawadi ya TV nchi 32, ikiwa na king’amuzi cha
Azamu kikiwa kimelipiwa mwezi mzima mara baada
ya kuibuka msindi wa droo ya tatu ya Zali la
Mwanaspoti inayoendelea nchini.Makabidhiano
hayo yalifanyika katika katika tamasha lililofanyika
Viwanja vya Toto tundu Tabata Dar es Salaam.
Afisa Masoko wa Kampuni ya Mwananchi
Communications Limited, Huldermary
Munisi(kushoto) akimkabidhi Joyce Eosmsiles
zawadi ya Simu ya mkononi(Smartphone) mara
baada ya kuibuka msindi wa droo ya tatu ya Zali la
Mwanaspoti inayoendelea nchini.Makabidhiano
hayo yalifanyika katika katika tamasha lililofanyika
Viwanja vya Toto tundu Tabata Dar es Salaam.
Afisa Masoko wa Kampuni ya Mwananchi
Communications Limited, Huldermary
Munisi(kushoto) akimkabidhi Fadhili Mahiche
zawadi ya Pikipiki mara baada ya kuibuka msindi wa
droo ya tatu ya Zali la Mwanaspoti inayoendelea
nchini.Makabidhiano hayo yalifanyika katika katika
tamasha lililofanyika Viwanja vya Toto tundu
Tabata Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment