HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, November 27, 2017

Bomoa bomoa katika Majengo ya Wizara ya Maji Ubungo

 Baadhi ya Mafundi wa Mabomba ya maji, wakiendelea na zoezi la kuhamisha mabomba katika tenki la maji nje ya Majengo ya Wizara ya Maji, Ubungo jijini Dar es salaam ikiwa ni maandalizi ya kubomoa majengo hayo ili kupisha ujenzi wa barabara za juu, kufuatia agizo lililotolewa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli.
 Fundi akikata moja ya Mabomba hayo.
 Ubomoaji ukiendelea katika majengo ya Wizara ya Maji, Ubungo jijini Dar es salaam leo.
 Matenki ya maji yakihamishwa kupisha bomoa bomoa.
 Baadhi ya majengo yakiwa yameshatembezewa nyundozzz.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad