HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, November 17, 2017

KATIBU MKUU WIZARA YA KATIBA AKUTANA NA WADAU WA KIMATAIFA KATIKA MASUALA YA KISHERIA

 Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Huduma za Kisheria kwa Umma Bw. Griffin Mwakapeje (aliyesimama) akifafanua jambo katika kikao kati ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome na wadau wa kimataifa katika masuala ya sheria wakati wakibadilishana mawazo kuhusu sheria mbalimbali ikiwemo sheria ya ugaidi Tanzania.
 Baadhi ya washiriki wa majadiliano ya sheria mbalimbali nchini kati ya  Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome na wadau wa kimataifa katika masuala ya sheria .
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome akisisitiza jambo kwa wadau wa kimataifa katika masuala ya sheria walipomtembelea leo (17/11/2017) ofisini kwake mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad