HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, June 9, 2017

DROO YA MAKUNDI YA NDONDO CUP YAPANGWA, KUANZA JUNI 17

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.

DROO ya makundi ya michuano ya Sports Extra Ndondo Cup imepangwa ambapo timu 32 zinatarajiwa kupambana katika kinyang'anyiro hicho. 


Michuano hiyo ambayo ambayo bingwa mtetezi ni Temeke Market itaanza Jumamosi ya Juni 17 ambapo timu za Makuburi FC itacheza na Stimtosha kwenye uwanja wa Kinesi katika mchezo wa ufunguzi. 

Bingwa huyo mtetezi amepangwa kundi G pamoja na timu za Makuburi, Stimtosha na Dar Polisi College. 


Makundi hayo yamepangwa kama ifuatavyo: 
Kundi A
Misosi FC
Buguruni United
Kibo Combine
Mdandu Investment

Kundi B

Kibada One
Madiba FC
Burudani FC
Twiga International


Kundi C
Tabata United
Wauza Matairi
Mpakani Combine
Vijana Rangers


Kundi D
Boom FC
Temeke Squard
Tandavamba FC
Vituka FC


Kundi E
Keko Furniture
Mlalakuwa Rangers
Black Six
Goroka FC


Kundi F
Kigogo Combine
Goms United
Ukwamani 
Kigoma Combine


Kundi G
Temeke Market
Makuburi FC
Stimtosha FC
Dar Police College


Kundi H
Kauzu FC 
Faru Jeuri
Shelaton
Miami FC

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad