HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, June 10, 2017

DMF YATOA "KAPU LA RAMADHAN" KWA WANANCHI WA KIJIJI CHA HOYOYO, MKURANGA MKOANI PWANI

 Mkuu wa Kitengo cha Elimu wa Taasisi ya Doris Mollel, Erick Kajahurwa akiwa katika maandalizi ya kugawa vikapu vya vyakula mbali mbali kwa wananchi wa Kijiji cha Hoyoyo, Mkuranga Mkoani Pwani, ikiwa ni sadaka inayotolewa na Taasisi hiyo kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kupitia kampeni yake ya KAPU LA RAMADHAN.
 Mratibu wa Matukio ya Kijamii wa Taasisi ya Doris Mollel, Alice Mwakatika (kushoto) akikabidhi sehemu ya vyakula kwa familia ya Mzee Seif Maruyo ambao ni wakazi wa Kijiji cha Hoyoyo, Mkuranga Mkoani Pwani, ikiwa ni sadaka inayotolewa na Taasisi hiyo kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kupitia kampeni yake ya KAPU LA RAMADHAN.
 Mratibu wa Matukio ya Kijamii wa Taasisi ya Doris Mollel, Alice Mwakatika (wa pili kulia) na Mkuu wa Kitengo cha Elimu wa Taasisi hiyo, Erick Kajahurwa (kushoto) wakimsikiliza Bw. Shamte Ndikayi ambaye ni mlemavu wa macho, walipomtembelea nyumbani kwake Kijijini Hoyoyo, Mkuranga Mkoani Pwani, baada ya kukabidhi vyakula mbalimbali ikiwa ni sadaka inayotolewa na Taasisi hiyo kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kupitia kampeni yake ya KAPU LA RAMADHAN.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad