HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 10, 2017

RAIS WA ZANZIBAR AREJEA NCHINI AKITOKEA DJIBOUTI.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Muhammed Shein katikati akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Ayoub Moahammed Mahmoud mara baada ya kuwasili Zanzibar akitokea Djibouti kwa Ziara ya Siku Tatu
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Muhammed Shein katikati akisalimiana na Wakuu wa Vikosi vya SMZ mara baada ya kuwasili Zanzibar akitokea Djibouti kwa Ziara ya Siku Tatu.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Muhammed Shein katikati akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Serikali mara baada ya kuwasili Zanzibar akitokea Djibouti kwa Ziara ya Siku Tatu.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Muhammed Shein wa kwanza kulia akizungumza na Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali mara baada ya kuwasili Zanzibar akitokea Djibouti kwa Ziara ya Siku Tatu.

PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad