HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, April 4, 2017

DAR CITY YAIGARAGAZA BOKO BEACH VETERANS KWA BAO 3-2

Mchezaji wa timu ya Dar City, Shadrack Nsajigwa akiondoka na huku akisindikizwa na Mchezaji wa Timu Boko Veterans wakati wa mchezo wa kirafiki uliochezwa kwenye Uwanja wa Boko Veterani mwishoni mwa wiki. Katika mchezo huo Dar City ilishinda mabao 3-2, kupitia kwa wachezaji wake Makocha Tembele na Salvatory Edward. Kikosi cha Dar City kinaundwa na wachezaji mbalimbali waliowahi kutamba katika Ligi Kuu Tanzania miaka ya nyuma pamoja na .
Kiungo hodari wa Dar City, Shaffih Dauda akiwania mpira na Mchezaji wa Timu Boko Veterans wakati wa mchezo wa kirafiki uliochezwa kwenye Uwanja wa Boko Veterani mwishoni mwa wiki. Katika mchezo huo Dar City ilishinda mabao 3-2, kupitia kwa wachezaji wake Makocha Tembele na Salvatory Edward. Kikosi cha Dar City kinaundwa na wachezaji mbalimbali waliowahi kutamba katika Ligi Kuu Tanzania miaka ya nyuma pamoja na baadhi ya wadau wa soka na wanahabari.
Kiungo wa Timu ya Dar City, Tippo Athuman al maarufu Zizzou ambaye ni muasisi wa timu hiyo, akitafuta namna ya kuwatoka mabeki wa Timu ya Boko Beach Veterans, wakati wa mchezo wa kirafiki uliochezwa kwenye Uwanja wa Boko Veterani mwishoni mwa wiki.




Nahodha wa Timu ya Boko Beach Veterans, John Dilinga a.k.a Dj JD akiajiandaa kuachia shuti.

 

Makocha Tembele (katikati) akiwasakata wachezaji wa Boko Veterans, Godfrey Ngonyani (kushoto) na John Dilinga 'Dj Jd'.









Kiungo wa Dar City,

















No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad