HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, May 18, 2015

TOTOZZ ZA DIGITALI.......

Kama kawaida kupitwa na jambo sio kawaida ya libeneke lako pendwa la mtaa kwa mtaa blog katika katiza katiza yake leo iliwanasa watoto hao pichani (majina yao kapuni) walio kuwa na simu zao za mikononi wakijadiri jambo juu ya majuku walio nayo kwani unapo ona tuu mtoto amekwisha anza kumiriki simu au kutumia simu basi ujuwe kwa namna moja ama nyingine kunajambo wanalo liendesha pindi washikapo simu namna hii.picha na mtaa kwa mtaa blog.
 hapa sasa mmoja anachati huku mwingine akiongea na mtua wake wa karibu ambae akubainika ni nani huyo anae longa nae.
wakati mwingine akiendelea kulonga na simu (shoto) huku mwinine (kulia) akifurahia jambo juu ya meseji aliyo tumiwa na anae chati nae.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad