HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 20, 2015

Mshindi wa "Machellah Monthly Bonanza" akabidhiwa mkwanja wake

Mwanahabari, Michael Machellah(kulia) akimkabidhi mtunza hazina wa Chama cha Darts Tanzania, Harold Mono Shilingi 100,000/- maara baada ya kuibuka bingwa katika bonanza la mchezo wa Vishale(Darts) lililoandaliwa na mwanahabari huyo lijulikanala kwa “Machellah Monthly Bonanza” lililofanyika mwishoni wiki katika ukumbi wa CCM Mwinjuma Mwananyamala Dar es Salaam.
Baadhi ya wachezaji na mashabiki wa Darts mkoa wa Dar es Salaam wakifuatilia mchezo katika Bonanza lililoandaliwa na mwanahabari Michael Machellah lijulikanalo kwa Machellah Bonanza lililofanyika mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa CCM Mwinjuma Mwananyamala Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad