WAZIRI WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI AKITOA MAELEKEZO KWA KAIMU MENEJA WA TANROADS MKOA WA MWANZA MHANDISI ERNEST NGAILE KUHUSU UJENZI WA BARABARA YA USAGARA –KISESA.
WAZIRI
WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI AKIKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA DARAJA
LENYE UREFU WA MITA 67.95 KATIKA BARABARA YA USAGARA –KISESA YENYE UREFU
WA KM 16.8
WAZIRI
WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI AKIPANDA KWENYE TUTA MARA BAADA YA UKAGUZI
WA BARABARA YA USAGARA –KISESA YENYE UREFU WA JUMLA YA KM 16.8.
WAZIRI
WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI AKIWAHUTUBIA MAMIA YA WAKAZI WA KATA YA
FELA KUHUSU MAENDELEO NA CHANGAMOTO ZA UJENZI WA BARABARA YA USAGARA
–KISESA YENYE UREFU WA JUMLA YA KM 16.8.
WAZIRI WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI AKIAGANA NA WAKAZI WA KATA YA FELA MARA BAADA YA KUWAHUTUBIA KATIKA MKUTANO WA HADHARA JANA.
No comments:
Post a Comment