HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 8, 2014

MLIPUKO MWINGINE WA BOMU WATOKEA JIJINI ARUSHA LEO,NANE WAJERUHIWA

  Pichani ni Askari wa Jeshi la Wananchi JWTZ kitengo cha Mabomu wakiwa  katika eneo la tukio ambapo bomu lilirushwa ndani ya Mgahawa ujulikanao  kwa jina la Traditional Indian Cusine uliopo pembeni ya hotel ya Gymkana jijini Arusha,aidha taarifa za awali zinaeleza kuwa watu nane wamejeruhiwa vibaya na mlipuko huo
 Picha ni majeruhi wa mlipuko wa Bomu uliotokea katika mgahawa wa Traditional Indian Cusine aliyejulikana kwa jina la Deepak Gupta (25),akiwa amelazwa katika hospitali ya Selian,katika chumba cha watu mahututi (ICU),mara baada ya kukatwa mguu wake mmoja wa kushoto kutokana na mhuu huo kujeruhiwa vibaya na bomu.
 Sehemu ya baadhi ya watu waliojeruhiwa kwenye mlipuko wa bomu uliotokea jana usiku katika mgahawa wa Traditional Indian Cusine wakiwa wamelazwa katika hospitali ya Selian,jijini Arusha kwa matibabu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad