HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 8, 2014

Mwana wa mfalme wa Japan atembelea Hifadhi ya Ngorongoro

 Mwana wa mfalme wa Japan Prince Fumihito Akishino na mkewe Kiko, wakifurahia ngoma za makabila la Wadatoga (Barbaig) na ile ya Wamasai, katika eneo la mlango wa Loduare kwenye hifadhi ya Mamlaka ya Ngorongoro, pamoja nao wapo pia maafisa wa mamlaka hiyo, Bruno Kawasange na Adam Akyoo pamoja na Mkuu wa wilaya ya Karatu, Felix Daudi Ntibenda.
 wakiwa wanafurahia ngoma za wamasai pamoja na wabarabaigi.
 Katika picha nyingine Mwana huyo wa mfalme wa Japan akipewa maelezo kuhusu shughuli za uhifadhi ndani ya mamlaka hiyo katika kutuo cha habari cha Loduare Gate.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad