Zamani kulikuwaga ya Utaratibu wa Halmashauri ya jiji kukamata mifugo yote inayozurula hovyo maeneo ya kati kati ya mji,sikui umeishia wapo??Pichani ni Mbuzi ambao hawakuweza fahamika mara moja kuwa ni wa nani,wakikata mitaa ya Magomeni jijini Dar.
Saturday, November 23, 2013
Home
Unlabelled
Hivi utaratibu wa kukamata mifugo inayozurula hovyo uliishia wapi??
Hivi utaratibu wa kukamata mifugo inayozurula hovyo uliishia wapi??
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Nchi ishauzwa hii!!
ReplyDeleteInchi ishauzwa hii
ReplyDelete