HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, January 9, 2012

Taasisi ya Victoria Foundation yatoa misaada kituo cha watoto yatima cha Feed and Tend International leo

Mwenyekiti wa Taasisi ya Victoria Foundation,Bi Vicky Kamata (katikati) akikabidhi moja ya magodoro kwa Makamu Mwenyekiti wa Feed and Tend International (FTI),Bw. Joseph Jacob (kushoto) leo hii, ikiwa ni sehemu ya msaada wa vyakula,maziwa,matunda,mavazi na magodoro kwa watoto Yatima wa kituo cha FTI Masumbwe.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Victoria Foundation,Bi Vicky Kamata (kushoto) akikabidhi box ya Maziwa kwa Makamu Mwenyekiti wa Feed and Tend International (FTI),Bw. Joseph Jacob (kulia) leo hii,ikiwa ni sehemu ya msaada wa vyakula,maziwa,matunda,mavazi na magodoro kwa watoto Yatima wa kituo cha FTI Masumbwe.Wengine Pichani ni Sehemu ya Watoto hao.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Victoria Foundation,Bi Vicky Kamata (kushoto) akikabidhi Maziwa ya kopo kwa baadhi ya Watoto wa Kituo cha Feed and Tend International (FTI) ikiwa ni sehemu ya msaada wa vyakula,maziwa,matunda,mavazi na magodoro kwa watoto Yatima wa kituo cha FTI Masumbwe.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Victoria Foundation,Bi Vicky Kamata (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na na baadhi ya watoto Yatima wa kituo cha FTI Masumbwe.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad