HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, November 24, 2011

TDL yakabidhi vifaa vya usafi wa jiji kwa mkuu wa mkoa wa Dar

 Mkuu wa mkoa wa dar es salaam mh.Said Meck Sadiki akitoa shukrani kwa Mkurugenzi wa kampuni ya konyagi bw David Mgwassa, kwenye makabidhiano ya vifaa vya usafi vilivyotolewa na kampuni hiyo kwenye ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Kampuni ya konyagi Bw David Mgwassa (kulia) anaeonekana akiwa pamoja na wafanyakazi wa halmashauri ya jiji la dar es saalam waliokabidhiwa vifaa vya usafi wa jiji na kampuni ya kinywaji cha konyagi katika ofisi ya mkuu wa mkoa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad