Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifafanuliwa jambo na Kaimu Meneja Mkuu
wa Kampuni Tanzu ya Shirika la Petroli Tanzania GASPO - TPDC, Injinia.
Bartazar Mroso kushoto) wakati akitembelea mabanda, kwenye maonesho ya
Wizara ya Nishati na Taasisi zake, yaliyofanyika kwenye viwanja vya
Bunge, jijini Dodoma. Mei 25, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akifafanuliwa jambo na Waziri wa Nishati, January
Makamba, kwenye maonesho ya Wizara ya Nishati na Taasisi zake,
yaliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge, jijini Dodoma. Mei 25, 2022.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiangalia vipeperushi, wakati akitembelea
mabanda, kwenye maonesho ya Wizara ya Nishati na Taasisi zake,
yaliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge, jijini Dodoma. Mei 25, 2022.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nishati, January
Makamba, wakati alipotembalea banda la Mkoa wa Kigoma, kwenye maonesho
ya Wizara ya Nishati na Taasisi zake, yaliyofanyika kwenye viwanja vya
Bunge, jijini Dodoma. Mei 25, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment