Ujenzi wa Daraja la Tanzanite (km
1.03) ambalo linapita katika Bahari ya Hindi kuunganisha eneo la Agha Khan
pamoja na Coco Beach umefikia asilimia 70.6 na linatarajiwa kukamilika mwishoni
mwa mwaka huu.
Excavator
ikishushwa chini ya sakafu ya bahari kwa ajili ya kazi ya kuchimba katika
muendelezo wa kazi za ujenzi wa Daraja la Tanzanite (km 1.03) ambalo linapita
baharini kuunganisha eneo la Agha Khan pamoja na Coco Beach
Excavator ikiendelea kuchimba ndani
ya sakafu ya bahari katika muendelezo wa kazi za ujenzi wa Daraja la Tanzanite
(km 1.03) ambalo linapita baharini kuunganisha eneo la Agha Khan pamoja na Coco
Beach
Ujenzi wa Daraja la Tanzanite (km
1.03) ambalo linapita katika Bahari ya Hindi kuunganisha eneo la Agha Khan
pamoja na Coco Beach umefikia asilimia 70.6 na linatarajiwa kukamilika mwishoni
mwa mwaka huu.
Ujenzi wa Daraja la Tanzanite (km
1.03) ambalo linapita katika Bahari ya Hindi kuunganisha eneo la Agha Khan
pamoja na Coco Beach umefikia asilimia 70.6 na linatarajiwa kukamilika mwishoni
mwa mwaka huu.
Ujenzi wa Daraja
la Tanzanite (km 1.03) ambalo linapita baharini kuunganisha eneo la Agha Khan
pamoja na Coco Beach ukiendelea kwa kasi.
Ujenzi wa Daraja
la Tanzanite (km 1.03) ambalo linapita baharini kuunganisha eneo la Agha Khan
pamoja na Coco Beach ukiendelea kwa kasi.
Ujenzi wa Daraja
la Tanzanite (km 1.03) ambalo linapita baharini kuunganisha eneo la Agha Khan
pamoja na Coco Beach ukiendelea kwa kasi.
Ujenzi wa Daraja
la Tanzanite (km 1.03) ambalo linapita baharini kuunganisha eneo la Agha Khan
pamoja na Coco Beach ukiendelea kwa kasi.
Ujenzi wa Daraja
la Tanzanite (km 1.03) ambalo linapita baharini kuunganisha eneo la Agha Khan
pamoja na Coco Beach ukiendelea kwa kasi.
Ujenzi wa Daraja
la Tanzanite (km 1.03) ambalo linapita baharini kuunganisha eneo la Agha Khan
pamoja na Coco Beach ukiendelea kwa kasi.
Ujenzi wa Daraja
la Tanzanite (km 1.03) ambalo linapita baharini kuunganisha eneo la Agha Khan
pamoja na Coco Beach ukiendelea kwa kasi.
Daraja la Tanzanite lina urefu wa km 1.03, upana mita 20.5 pamoja na barabara unganishi zake zenye urefu wa zaidi ya km 5.2, litakuwa na njia 4 za magari pamoja na njia 2 za watembea kwa miguu. PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment