Waziri wa Ujenzi
na Uchukuzi, Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho akiangalia ramani ya eneo la mradi
wa barabara ya Kanyani hadi Mvugwe (km
70.50), inayojengwa kwa kiwango cha lami na Kampuni ya M/s Synohydro
Corporation kutoka Korea kwa gharama ya Shilingi Bilioni 98.8. Alieshika ramani
hiyo ni Mhandisi Mshauri Hilary Rugarabamu pembeni yake ni Meneja wa Wakala wa
Barabara (TANROADS) mkoa wa Kigoma Mhandisi Narcis K. Choma.
Waziri wa
Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho akikagua mradi wa ujenzi wa
barabara ya Kibondo hadi Kabingo (km 62.5), inayojengwa kwa kiwango cha lami na
Kampuni ya China Henan International Cooperation kwa gharama ya Shilingi
Bilioni 80.9. Kushoto kwa Waziri ni Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS)
mkoa wa Kigoma, Mhandisi Narcis Choma, anae elekeza ni Mhandisi Mshauri Hamis
Khatibu.
Waziri wa
Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho akikagua mradi wa ujenzi wa
barabara ya Kibondo hadi Kabingo (km 62.5), inayojengwa kwa kiwango cha lami na
Kampuni ya China Henan International Cooperation kwa gharama ya Shilingi
Bilioni 80.9. Kushoto kwa Waziri ni Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS)
mkoa wa Kigoma, Mhandisi Narcis Choma, anae elekeza ni Mhandisi Mshauri Hamis
Khatibu.
Waziri wa
Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho akikagua mradi wa ujenzi wa
barabara ya Kibondo hadi Kabingo (km 62.5), inayojengwa kwa kiwango cha lami na
Kampuni ya China Henan International Cooperation kwa gharama ya Shilingi
Bilioni 80.9. Kushoto kwa Waziri ni Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS)
mkoa wa Kigoma, Mhandisi Narcis Choma, anae elekeza ni Mhandisi Mshauri Hamis
Khatibu.
Waziri wa
Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho akikagua mradi wa ujenzi wa
barabara ya Kibondo hadi Kabingo (km 62.5), inayojengwa kwa kiwango cha lami na
Kampuni ya China Henan International Cooperation kwa gharama ya Shilingi
Bilioni 80.9. Kushoto kwa Waziri ni Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS)
mkoa wa Kigoma, Mhandisi Narcis Choma, anae elekeza ni Mhandisi Mshauri Hamis
Khatibu.
No comments:
Post a Comment