HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, March 8, 2021

WAZIRI CHAMURIHO AKAGUA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA KASULU HADI NYAKANAZI


 

 
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho akiangalia ramani ya eneo la mradi wa  barabara ya Kanyani hadi Mvugwe (km 70.50), inayojengwa kwa kiwango cha lami na Kampuni ya M/s Synohydro Corporation kutoka Korea kwa gharama ya Shilingi Bilioni 98.8. Alieshika ramani hiyo ni Mhandisi Mshauri Hilary Rugarabamu pembeni yake ni Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) mkoa wa Kigoma Mhandisi Narcis K. Choma.
 
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho akikagua mradi wa ujenzi wa barabara ya Kibondo hadi Kabingo (km 62.5), inayojengwa kwa kiwango cha lami na Kampuni ya China Henan International Cooperation kwa gharama ya Shilingi Bilioni 80.9. Kushoto kwa Waziri ni Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) mkoa wa Kigoma, Mhandisi Narcis Choma, anae elekeza ni Mhandisi Mshauri Hamis Khatibu.
 
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho akikagua mradi wa ujenzi wa barabara ya Kibondo hadi Kabingo (km 62.5), inayojengwa kwa kiwango cha lami na Kampuni ya China Henan International Cooperation kwa gharama ya Shilingi Bilioni 80.9. Kushoto kwa Waziri ni Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) mkoa wa Kigoma, Mhandisi Narcis Choma, anae elekeza ni Mhandisi Mshauri Hamis Khatibu.
 
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho akikagua mradi wa ujenzi wa barabara ya Kibondo hadi Kabingo (km 62.5), inayojengwa kwa kiwango cha lami na Kampuni ya China Henan International Cooperation kwa gharama ya Shilingi Bilioni 80.9. Kushoto kwa Waziri ni Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) mkoa wa Kigoma, Mhandisi Narcis Choma, anae elekeza ni Mhandisi Mshauri Hamis Khatibu.
 
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho akikagua mradi wa ujenzi wa barabara ya Kibondo hadi Kabingo (km 62.5), inayojengwa kwa kiwango cha lami na Kampuni ya China Henan International Cooperation kwa gharama ya Shilingi Bilioni 80.9. Kushoto kwa Waziri ni Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) mkoa wa Kigoma, Mhandisi Narcis Choma, anae elekeza ni Mhandisi Mshauri Hamis Khatibu.

 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad