Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia
Suluhu Hassan, akihutubia Taifa kwenye Maadhimisho
ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyoazimishwa leo March 08,2021 katika Ukumbi wa
Mlimani City Jijini Dar es salaam, ambapo Ujumbe wa Mwaka huu ni Wanawake
katika Uongozi, Chachu kufikia Dunia yenye Usawa. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia
Suluhu Hassan, akihutubia Taifa kwenye Maadhimisho
ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyoazimishwa leo March 08,2021 katika Ukumbi wa
Mlimani City Jijini Dar es salaam, ambapo Ujumbe wa Mwaka huu ni Wanawake
katika Uongozi, Chachu kufikia Dunia yenye Usawa.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia
Suluhu Hassan, akipokea Tuzo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Wasafi Abdul Nasibu
Dimond kwa kutambua Mchango wake wa Hali na Mali kuchangia Shughuli mbalimbali
za Maendeleo ya Wanawake na Jamii kwa Ujumla wakati wa Maadhimisho
ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyoazimishwa leo March 08,2021 katika Ukumbi wa
Mlimani City Jijini Dar es salaam, ambapo Ujumbe wa Mwaka huu ni Wanawake
katika Uongozi, Chachu kufikia Dunia yenye Usawa. (Picha na Ofisi ya Makamu wa
Rais)
No comments:
Post a Comment