Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,
Abdallah Ulega akipiga baruti juu kuashiria ufunguzi rasmi wa mbio za Kisarawe
Ushoroba Festival hapo jana wilayani Kisarawe Mkoa wa Pwani.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,
Abdallah Ulega (mbele) akishiriki mbio za Kisarawe Ushoroba Festival hapo jana
wilayani Kisarawe Mkoa wa Pwani.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,
Abdallah Ulega akizungumza na washiriki wa mbio za Kisarawe Ushoroba Festival
hapo jana wilayani Kisarawe Mkoa wa Pwani.
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Bi. Jokate Mwegelo
akimvalisha medali moja ya washindi wa mbio za Kisarawe Ushoroba Festival hapo
jana wilayani Kisarawe Mkoa wa Pwani.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za
Mitaa(OR-TAMISEMI) Mhe.Selemani Jafo akimvalisha
medali moja ya washindi wa mbio za Kisarawe Ushoroba
Festival hapo jana wilayani Kisarawe Mkoa wa Pwani.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,
Abdallah Ulega akimvalisha medali mshindi wa mbio za kilomita 21 wakati wa mbio
za Kisarawe Ushoroba Festival hapo jana wilayani Kisarawe Mkoa wa Pwani.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,
Abdallah Ulega akimpa zawadi mshindi wa mbio za kilomita 5 kwa wanawake wakati
wa mbio za Kisarawe Ushoroba Festival hapo jana wilayani Kisarawe Mkoa wa
Pwani.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo, Abdallah Ulega akiwa katika picha ya pamoja na washindi wa mbio za Kisarawe Ushoroba
Festival hapo jana wilayani Kisarawe Mkoa wa Pwani.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,
Abdallah Ulega akifurahia mara baada ya kumaliza mbio za kilomita tano wakati wa
mbio za Kisarawe Ushoroba Festival hapo jana wilayani Kisarawe Mkoa wa Pwani.
Picha na WHUSM
7 Machi, 2021
No comments:
Post a Comment