BAADHI
ya Wakurugenzi wa Idara mbalimbali katika Ofisi ya Rais na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi, wakifuatilia Kikao cha kuwasilisha ripoti ya
Utekelezaji Mpango Kazi, kilichofanyika katika ukumbi wa IKulu Jijini
Zanzibar, wakati ikiwasilishwa, kikao hicho kimeongozwa na Mwenyekiti
wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein.
MSHAURI wa Rais Masuala ya Historian a Mambo ya Kale Mhe.Ali Mzee Ali, akichangia wakati wa Kikao cha Utekelezai Mpango Kazi kwa mwaka wa fedha 2020/2021, kilichofanyika Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
MSHAURI wa Rais Masuala ya Historian a Mambo ya Kale Mhe.Ali Mzee Ali, akichangia wakati wa Kikao cha Utekelezai Mpango Kazi kwa mwaka wa fedha 2020/2021, kilichofanyika Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
No comments:
Post a Comment