HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, September 16, 2019

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WABUNGE KUTOKA BUNGE LA UJERUMANI

 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (katikati) akizungumza na Wajumbe wa Chama Marafiki wa Wabunge wa Afrika Mashariki kutoka Bunge la Ujerumani (kulia) waliotembelea Bunge la Tanzania kwa lengo la kuimarisha uhusiano baina ya pande zote mbili Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni baadhi ya Wabunge wa Bunge la Tanzania waliohudhuria kikao hicho
 Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge Marafiki wa Afrika Mashariki kutoka Bunge la Ujerumani Mhe. Manfred Todtenhausen (wa kwanza kushoto) akimueleza jambo Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (katikati) wakati wa ziara yao katika Bunge la Tanzania yenye lengo la kuimarisha uhusiano baina ya pande zote mbili.
 Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge Marafiki wa Afrika Mashariki kutoka Bunge la Ujerumani Mhe. Manfred Todtenhausen (kulia) akimueleza jambo Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (katikati) wakati wa ziara yao katika Bunge la Tanzania yenye lengo la kuimarisha uhusiano baina ya pande zote mbili.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (katikati) akiagana na Kaimu Balozi wa Ujerumani hapa nchini Joerg Herrera mara baada ya kunzungumza na Wajumbe wa Chama Marafiki wa Wabunge wa Afrika Mashariki kutoka Bunge la Ujerumani. Katikati ni Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Mhe. Manfred Todtenhausen. PICHA NA BUNGE

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad