Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe akiwa na Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa pamoja na Wakurugenzi Wakuu wa Pipe Industries Co. Limited Bw,. Seif A. Seif na Nassor A. Seif pamoja na viongozi na wadau wengine pazia kuashiria kufunguliwa rasmi kwa kiwanda chao cha kutengeneza mipira na mabomba ya plastiki eneo la Vingunguti jijini Dar es salaam leo Septemba 16. 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akipeana mikono na Wakurugenzi Wakuu wa Pipe Industries Co. Limited
Bw,. Seif a, Seif na Nassor A. Seif baada ya kufunua pazia kuashiria
kufunguliwa rasmi kwa kiwanda chao cha kutengeneza mipira na mabomba
ya plastiki eneo la Vingunguti jijini Dar es salaam leo Septemba 16.
2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisikiliza maelezo ya kazi za uzalishaji za Pipe Industries Co.
Limited akiwa na Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent
Bashungwa pamoja na Wakurugenzi Wakuu wa kiwanda hicho Bw,. Seif A.
Seif na Nassor A. Seif pamoja na viongozi na wadau wengine pazia
kuashiria kufunguliwa rasmi kwa kiwanda chao cha kutengeneza mipira na
mabomba ya plastiki eneo la Vingunguti jijini Dar es salaam leo
Septemba 16. 2019
PIHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment