HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, September 16, 2019

RAIS DKT MAGUFULI AFUNGUA KIWANDA CHA PIPE INDUSTRIES ENEO LA VINGUNGUTI JIJINI DAR ES SALAAM LEO

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe akiwa na Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa pamoja na Wakurugenzi Wakuu wa Pipe Industries Co. Limited Bw,. Seif A. Seif na Nassor A. Seif pamoja na viongozi na wadau wengine pazia kuashiria kufunguliwa rasmi kwa kiwanda chao cha kutengeneza mipira na mabomba ya plastiki eneo la Vingunguti jijini Dar es salaam leo Septemba 16. 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na Wakurugenzi Wakuu wa Pipe Industries Co. Limited Bw,. Seif a, Seif na Nassor A. Seif baada ya kufunua pazia kuashiria kufunguliwa rasmi kwa kiwanda chao cha kutengeneza mipira na mabomba ya plastiki eneo la Vingunguti jijini Dar es salaam leo Septemba 16. 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisikiliza maelezo ya kazi za uzalishaji za Pipe Industries Co. Limited akiwa na Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa pamoja na Wakurugenzi Wakuu wa kiwanda hicho Bw,. Seif A. Seif na Nassor A. Seif pamoja na viongozi na wadau wengine pazia kuashiria kufunguliwa rasmi kwa kiwanda chao cha kutengeneza mipira na mabomba ya plastiki eneo la Vingunguti jijini Dar es salaam leo Septemba 16. 2019 PIHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad