HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, August 6, 2019

WAZIRI MKUU AISHUKURU TIGO KWA KUWA MDHAMINI RASMI WA INTANETI KATIKA MKUTANO WA 39 WA SADC

Waziri Mkuu aishukuru Tigo kwa kuwa mdhamini rasmi wa intaneti itakayotumiwa na wageni wanaohudhuria mkutano wa 39 wa jumuiya ya maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC. 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa atembelea banda la Tigo na kuwapongeza kwa kuwa wadhamini rasmi wa intaneti itakayotumika kwenye mkutano wa 39 wa jumuiya ya maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC ) unaondelea jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Mwalimu Julius Nyerere. Tigo ndio kampuni ya mawasiliano pekee yenye mtandao wa kasi wa 4G+.
 Mkuu wa Mauzo – Tigo Business, Kadambara Maita, akimkaribisha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika banda la Tigo, lililopo katika mkutano wa 39 wa jumuiya ya maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC unaondelea jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Mwalimu Julius Nyerere.
Wafanyakazi wa Tigo wakimkaribisha Waziri Mkuu wa Tanzania, Mh.Kassim Majaliwa, katika banda la Tigo, lililopo katika mkutano wa 39 wa jumuiya ya maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC unaondelea jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Mwalimu Julius Nyerere.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad