HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 2, 2019

VIONGOZI NA WANANCHI WATEMBELEA BANDA LA BUNGE KATIKA MAONYESHO YA SABASABA JIJINI DAR ES SALAAM

 Afisa wa Bunge Bw. Patson Sobha akimuelezea jambo Waziri wa Viwanda na Biashara Bw. Innocent Bashungwa alipotembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika Maonyesho ya  43 Kimataifa ya Kibiashara ya Dar es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam.
 Afisa wa Bunge Bw. Dickson Bisile akizungumza na Wananchi waliotembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika Maonyesho ya  43 Kimataifa ya Kibiashara ya Dar es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam.
 Afisa wa Bunge Bw. Prosper Minja akitoa elimu kuhusu Bunge kwa Wananchi waliotembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika maonyesho ya  43 Kimataifa ya Kibiashara ya Dar es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam.
  Afisa Mwandamizi wa Bunge Bw. Peter Magati akiwaelekeza jambo Watoto waliotembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika maonyesho ya  43 Kimataifa ya Kibiashara ya Dar es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam.
 Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Kimataifa Bw. Daniel Eliufoo (wa kwanza  kulia ) na Afisa wa Bunge Bw. Dickson Bisile wakimsikiliza mwananchi aliyetembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika maonyesho ya  43 Kimataifa ya Kibiashara ya Dar es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam kwa lengo lakupata ufahamu kuhusu masuala ya Bunge.
 Maofisa wa Ofisi ya  Bunge wakitoa elimu kuhusu Bunge kwa Wananchi waliotembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika maonyesho ya  43 Kimataifa ya Kibiashara ya Dar es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad