Wajumbe wa kamati maalumu ya kutatua changamoto zinazowakabili wafanyabiashara wa Malawi wanayotumia bandari ya Dar es Salaam wakikagua miundombinu katika bandari kavu ya Malawi iliyopo Jijini Mbeya, ili kuhamasisha matumizi zaidi ya bandari hiyo kupunguza siku za kusafirisha mizigo kwenda Malawi. (Picha na Iddy Mwema)
Friday, June 7, 2019

WAJUMBE WA KAMATI MAALUM WAKAGUA MIUNDOMBINU YA BANDARI KAVI JIJINI MBEYA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment