HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, June 7, 2019

CP LIBERATES SABAS ATETA NA WANANCHI KIJIJI CHA RUNGUNGU (RUFIJI),AFANYA OPERESHENI KALI KATIKA MAKAZI YALIOTUMIWA NA WAHALIFU

 Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP Liberates Sabas, akikagua mradi wa ujenzi wa Nyumba za Askari Polisi uliofadhiliwa na Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, katika eneo la Ikwiriri, Mkoa wa Kipolisi Rufiji na kulidhishwa na maendeleo mazuri ya ujenzi huo. 
 Kamishna wa Opereshni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP Liberates Sabas, akizungumza na wanakijiji cha Rungungu baada ya kuwatembelea na kutaka kujua maendelea yao na Usalama wa Kijiji hicho, hatua hiyo ya kuwatembelea wanakijiji hao kamishna CP Sabas  huifanya mara kwa mara kwasababu ya kijiji hicho ndicho kilikuwa makazi makuu ya wahalifu pamoja na eneo walilokuwa wakifanyia mafunzo yao kabla ya kutimiza azima zao katika kipindi cha miaka ya 2016 na 2017. 
Kamishna wa Opereshni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP Liberates Sabas, akiwa katika picha ya pamoja na askari wa kikosi maalum cha kupambana na wahalifu katika pori la Rungungu liliopo Kijiji cha Rungungu katika Mkoa wa Kipolisi Rufiji baada ya kumaliza kufanya Operesheni maeneo hayo. (PICHA NA JESHI LA POLISI)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad