HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 22, 2019

WAKALA WA CHAKULA DAWA NA VIPODOZI WAGUNDUA BIDHAA ZILIZOINGIZWA KINYUME NA UTARATIBU ZANZIBAR

 Mkaguzi wa Chakula Dawa na Vipodozi Abrahman Hamadi Mussa akionesha kwa Waandishi wa Habari Bidhaa ya Majani ya Chai yalioingizwa nchini kinyume na Utaratibu ambayo imegunduliwa katika Ghala lililopo Mikunguni sheli mjini Unguja.
 Mkaguzi wa Chakula Dawa na Vipodozi Abrahman Hamadi Mussa akionesha kwa Waandishi wa Habari tarehe na mahala inapotengenezwa Bidhaa ya Majani ya Chai ambapo ilionekana inatengenezwa Zanzibar wakati bidhaa hio inatengenezwa Dare es salaam na kuingizwa Nchini kinyume na Utaratibu ambayo imegunduliwa katika Ghala lililopo Mikunguni sheli mjini Unguja.
 Mkaguzi wa Chakula Dawa na Vipodozi Abrahman Hamadi Mussa akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na kugundua Bidhaa ya Majani ya chai ilioingizwa Nchini kinyume na Utaratibu iliogunduliwa katika Ghala lililopo Mikunguni sheli mjini Unguja.
 Mwanasheria wa Wakala wa Chakula Dawa na Vipodozo Khadija Abdalla Abasi akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na kugundua Bidhaa ya Majani ya chai ilioingizwa Nchini kinyume na Utaratibu iliogunduliwa katika Ghala lililopo Mikunguni sheli mjini Unguja.
Bidhaa ya majani ya chai yalioingizwa kinyume na utaratibu ikiingizwa katika Gari kwa ajili ya kwenda kuangamizwa ambayo imegunduliwa katika Ghala lililopo Mikunguni sheli mjini Unguja.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad