HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 22, 2019

MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU BUNGENI JIJINI DODOMA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Buyungu, Mhandisi Christopher Chiza, Bungeni jijini Dodoma, Mei 22, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Hanang, Dkt. Mary Nagu, Bungeni jijini Dodoma, Mei 22, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Kibiti, Ally Ungando kwenye viwanja vyua Bunge jijini Dodoma, Mei 22, 2019.

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na walimu na wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Reader Rabbits ya jijini Dar es salaam kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Mei 22, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Biharamulo, Oscar Mukasa kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Mei 22, 2019. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad