HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 22, 2019

YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

 Spika wa Bunge la Jamhuriya Muungano wa Tanzania mhe. Job Ndugai akisisitiza jambo kwa wabunge leo Jijini Dodoma mara baada ya kipindi cha maswali na majibu.
  Mbunge wa viti maalum mkoa wa Arusha mhe. Amina Mollel akisisitiza jambo leo Bungeni Jijini Dodoma baada ya kipindi cha maswali na majibu.
 Naibu Waziri wa Maji mhe. Jumaa Aweso akisisitiza kuhusu mikakati ya Serikali kuhakikisha kuwa wananchi wote wanafikiwa na huduma ya maji leo Bungeni Jijini Dodoma.
 Waziri wa Mifugo na Uvuvi mhe.  Luhaga Mpina akisisitiza kuhusu mikakati ya Serikali kuhakikisha kuwa  haki za wanyama zinazingatiwa.
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamis Kigwangala akisisitiza jamb oleo Bungeni wakati wa kipindi cha maswali na majibu.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- TAMISEMI mhe Selemani Jaffo akisisitiza jambo kwa  Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe. Kassim Majaliwa leo Bungeni Jijini Dodoma.
(Picha na MAELEZO)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad