HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 17, 2019

IGP SIMON SIRRO AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA BALOZI WA UINGEREZA NCHINI

 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (kulia), akimsikiliza Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Mhe. Sarah Cooke, wakati alipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dar es salaam, na kuzungumza masuala mbalimbali ikiwemo kuendeleza ushirikiano. Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (kulia), akizungumza na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Mhe. Sarah Cooke, alipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dar es salaam, na kuzungumza masuala mbalimbali ikiwemo kuendeleza ushirikiano. Picha na Jeshi la Polisi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad