HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, May 10, 2018

SPIKA DUGAI ALIPOKUTANA NA WALIOKUWA WANAFUNZI WENZAKE WAKATI ANASOMA SHULE YA SEKONDARI KIBAHA

 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akisalimiana  na waliokuwa Wanafunzi wenzake wakati anasoma Shule ya Sekondari Kibaha, Mkoani Pwani walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma. Anayesalimiana na Mhe. Spika ni Ndg. Sadiki Alli na wengine kutoka kushoto ni Ndg. Jackson Kalikumtima, Eng. Hussein Mzara na Ndg. David Mchaina.
 Spika wa Bunge  akizungumza na waliokuwa Wanafunzi wenzake wakati anasoma Shule ya Sekondari Kibaha, Mkoani Pwani walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma. Wakwanza kushoto kwa Mhe. Spika ni Ndg. Jackson Kalikumtima, Eng. Hussein Mzara, Ndg. Sadiki Alli na Ndg. David Mchaina.
 Spika wa Bunge  akizungumza na waliokuwa Wanafunzi wenzake wakati anasoma Shule ya Sekondari Kibaha, Mkoani Pwani walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma. Wakwanza kushoto kwa Mhe. Spika ni Ndg. Jackson Kalikumtima, Eng. Hussein Mzara, Ndg. Sadiki Alli na Ndg. David Mchaina.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (katikati) katika picha ya pamoja na waliokuwa Wanafunzi wenzake wakati anasoma Shule ya Sekondari Kibaha, Mkoani Pwani walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma. Wakwanza kulia ni Ndg. Jackson Kalikumtima, Ndg. David Mchaina na kutoka kushoto ni Eng.Hussein Mzara na Ndg. Sadiki Alli.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad