HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, June 15, 2015

WAUMINI WAINGIA MTAA MMOJA BAADA YA MWINGINE KUKOMBA NA KUWAKUMBUSHA WAUMINI WAO KUREJEA KATIKA KANISA LAO LA PENDEKOSTE JIJINI MBEYA.

Baadhi ya waumini wa dini ya kikristo katika kanisa la Pendekoste jijini Mbeya, mapema leo waliamua kuingia mtaa mmoja baada ya mwingine kukumbusha na kuwachukuwa waumini wao baadhi katika kanisa hilo huku wakikimbia kwa kushangilia na kuimba nyimbo mbalimbali kama waonekanavyo katika taswira hapo juu na hapo wakiwa mtaa wa maendeleo jijini mbeya...Picha na Mtaa Kwa Mtaa blog.
Msururu huu ukiwa ni wenye imani na umini katika imani yao mtaa wa maendeleo.
Nyimbo mbalimbali za kuabudu na kusifu zikiendelea mitaa mbalimbali jijini mbeya mapemaa....
Hapa kila mtu akikimbia kadri alivyo jaaliwa kupiga hatua..
Mambo ya kukomboa walio potea yakiendelea mitaa mbalimbali.
"Kuokoka ni jukumu lako tubadilike, tumludie mungu wetu"
Kila mmoja akiwa mchangamfu kwa kuuimba na kusifu...
Mtaa wa maendeleo ulichanga mshwa kwa muda na shughuli zilisimama kwa mudaa..
Baada ya kumaliza mzunguko wao walilejea tena katika kanisa na kuendelea na mengineyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad