HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 18, 2014

Wananchi wafurahia huduma za NHIF maonesho ya Utumishi wa Umma

Meneja wa Masoko na Elimu kwa Umma, Anjela Mziray na Ofisa Matekelezo, Geofrey Tumaini wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wakitoa ufafanuzi kwa wananchi waliotembelea banda la Mfuko katika Maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma.
 Maofisa wa NHIF wakiongozwa na Meneja wa Mkoa wa Temeke, Ellentruda Mbogoro (kushoto) wakichambua na kuhakiki fomu za wanachama waliowasilisha fomu za usajili kwa ajili ya kupatiwa vitambulisho vya matibabu.
Ofisa Mifumo Habari wa NHIF, Donald Malunda akimhudumia mwanachama kwa kuhakiki taarifa zake katika maonesho hayo.
Banda la Upimaji Afya bure la NHIF, likiendelea na huduma kwa wananchi waliojitokeza kupima afya zao.
 Upimaji wa urefu na uzito ukiendelea
Wataalam wakiendelea kutoa ushauri kwa wananchi kulingana na matokeo ya vipimo vyao.
Wananchi wakisubiri kupata huduma za upimaji afya
 Wananchi wakipata huduma

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad