Tangu ianzishwe kampeni ya kupiga vita ugonjwa wa Malaria nchini kwa kizungu wanasema (Malaria No More),kumezuma matumizi mbali mbali ya net (nyavu) za kuzuia mbu wanaosambaza ugonjwa wa Malaria.kwani kuna sehemu zingine wanatumia net hizi kuvulia samaki,kuzungushia bustani ili isiharibie na ndege,wengine kufanya pazia na sisi huku mtaani kwetu tumeamua kuzitumia net hizo kuweka kwenye magoli ya kiwanjani kwetu ili tusiwe tunabishana pindi magoli yanapofungwa.maana huku kwetu ni wabishi kama nini vileeee.........
Monday, February 27, 2012

Home
Unlabelled
NETI ZA MALERIA NO MOOO.......!!!ZINAVYOKULA MZIGO
NETI ZA MALERIA NO MOOO.......!!!ZINAVYOKULA MZIGO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment