HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, February 28, 2012

mafuta ya Nywele ya Miadi yazinduliwa jijini Dar

Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya Miadi,David Kamau akizungumza na washiriki wa semina ya matumizi ya mafuta ya Nywele ya Miadi kwenye uzinduzi uliofanyika kwenye Hoteli ya Peacock jijini Dar Es Salaam Hivi karibuni.kushoto ni Meneja masoko wa Kampuni hiyo,Mariam Boadi.
Meneja masoko wa kampuni ya MIADI,Mariam Boadi (kushoto) akionyesha mafuta ya nywele ya Miadi kwenye uzinduzi na semina kwa wasambazaji na wenye saloon jijini Dar Es Salaam.kulia ni Mtaalam wa matumizi wa dawa hizo,Sammy Mwachofi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad