HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, February 28, 2012

LEO NI SIKU YA HEPI BESDEI YA KUZALIWA KWA WADAU WANGU HAWA

Fede mzee wa Katuni.
Dkt. Isack Maro wa Njia Panda ya Clouds FM.
Mkubwa wa Kazi,John Bukuku Mzee wa FULL SHANGWE...
Ankal Wangu Ibrahim Said.
Dada Farida wa Tumbo la Jirani.

Kwa Niaba ya Wadau wengine wa Libeneke hili la Mtaa Kwa Mtaa,tunawatakiwa kila la kheri katika maisha yenu na Mungu awazidishie uhai mrefu na Muishi Miaka mingi.

Hepi Besdeizz kwa ujumla wenu na wengine woote waliozaliwa siku kama ya leo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad