Kaimu Kamnada wa Polisi Mkoa
wa Mbea, Anaclet Malindisa akizindua rasmi maandamano ya amani ambayo
ni sehemu ya tamasha la Kili Jivunie Utanzania yaliyofanyika mwishoni
mwawiki Mkoani Mbeya. Kushoto ni Meneja wa Bia ya Kilimanjaro waandaaji
watamasha hilo, George Kavishe.
Kiongozi wa Bendi ya Extra
Bongo, Ally Choki (kulia) akiimba pamoja na Halid Chokoraa katika tamasha
la Kili jivunie Utanzania lililofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja
vyua CCM Ilomba mkoani Mbeya.
Wanenguaji wa kundi la muziki
wa dansi la Extra Bongo, wakicheza show wakati kundi hilo lililopotoa
burudani kali katika tamasha la Kili jivunie Utanzania lililofanyika
mwishoni mwa wiki mjini Mbeya katika viwanja vya CCM Ilombo.
No comments:
Post a Comment