HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, August 19, 2011

Vodacom Miss Tanzania watembelea mitambo ya Vodacom Kanda ya Kaskazini

 Warembo wanaoshiriki shindano la Vodacom Miss Tanzanzia 2011, wakimsikiliza Mkurugenzi wa Vodacom Kanda ya Kaskazini, Nguvu Kamando akiwapa maelezo mbalimbalimbali kuhusiana na mitambo ya kurushia mawasiliano ya simu ya kampuni hiyo iliyopo mjini Arusha wakati warembo hao walipotembelea kituo hicho jana.Warembo hao wapo katika ziara ya kimafunzo na kutembelea vivutio vya utalii na kuhamasisha utalii wa ndani Kanda ya Kaskazini
 Maelezo yakiendelea
Sababu ya simu za Vodacom kutosumbua ni mitambo ya kisasa....wanaambiwa

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad