HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, June 25, 2011

Irene Kalugaba anyakua taji la Vodacom Miss Mwanza 2011

Vodacom Miss Mwanza 2011 Irene Kalugaba akiwa kwenye picha pamoja na mshindi wa pili Flora Lazaro (kulia) na mshindi wa tatu Monica James, katika shindano hilo lilifanyika kwenye hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza.
Warembo waliofikia hatua ya tano bora katika shindano la Vodacom Miss Mwanza kutoka kulia ni Ester Laurent, Monica James, Diana James, Irene Kalugaba na Flora Lazaro.
Vodacom Miss Mwanza Irene Kalugaba akiwa katika picha ya pamoja na mwandaaji wa shindano hilo Bw. Dotto kulia na Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza RPC Saimon Sirro.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad