kilikuwa ni kilio cha siku nyingi kwa wakazi wa maeneo ya Tababa ambao walikuwa wakilazimika kuvuka barabara ya Mandera rodi kiujanja ujanja kutokana na kukosekana kwa taa za kuongozea magari,lakini sasa kilio cha kimesikika na kufanyiwa kazi.pongezi nyingi ziwafikie waliolifanikisha swala hili japo bado hazijaanza kupiga mzigo rasmi.
Saturday, June 25, 2011
Home
Unlabelled
HATIMAE KONA YA TABATA,BARABARA YA MANDERA RODI YAWEKEWA TAA ZA KUONGOZEA MAGARI
HATIMAE KONA YA TABATA,BARABARA YA MANDERA RODI YAWEKEWA TAA ZA KUONGOZEA MAGARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment