HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 15, 2011

HIVI UZEMBE KAMA HUU UTAMALIZIKA LINI??

Hapo hizo Daladala zilikuwa zikifukuzana katika barabara ya nyuu Bagamoyo rodi katika ule utaratibu wa njia tatu,na kwa kuwa mbele kulikuwa kuna gari nyingine ikija ambayo kiutaratibu wa nia hiyo ndio ilikuwa sahihi kupita katika upande huo ndipo walipolazimisha kurudi katika upande wao kwa mpigo na kufikia hatua hii inayoonekana hapa.sasa swali langu linakuja,hivi ni lini uzembe wa namna hii utakomeshwa kwa hawa majamaa wa daladala??

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad