Katibu  Mtendaji wa Tume ya Taifa ya UNESCO Profesa Elizabeth Kiondo(kushoto)  akikabidhi komputya na vifaa mbalimbali vya  maabara kwa ajili ya Shule ya Sekondari ya Barabara ya Mwinyi ya  wilayani Temeke jijini Dar leo. Vifaa hivyo vimegharimu shilingi milioni 18. Anayepokea  Komputya ni Afisa Elimu Taalum wilaya ya Temeke Rehema Mbwillo.
Katibu  Mtendaji wa Tume ya Taifa ya UNESCO Profesa Elizabeth Kiondo(kushoto)  akikabidhi vitabu vya masomo ya sayansi  na  vifaa mbalimbali vya maabara kwa ajili ya Shule ya Sekondari ya Barabara  ya Mwinyi ya wilayani Temeke. Vifaa hivyo vimegharimu shilingi milioni  18. Anayepokea vitabu hivyo  ni Afisa Elimu Taalum wilaya ya Temeke  Rehema Mbwillo.
 

No comments:
Post a Comment