HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 6, 2011

TUME YA TAIFA YA UNESCO YATOA MSAADA SHULE YA SEKONDARI BARABARA YA MWINYI LEO

Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya UNESCO Profesa Elizabeth Kiondo(kushoto) akikabidhi komputya na vifaa mbalimbali vya maabara kwa ajili ya Shule ya Sekondari ya Barabara ya Mwinyi ya wilayani Temeke jijini Dar leo. Vifaa hivyo vimegharimu shilingi milioni 18. Anayepokea Komputya ni Afisa Elimu Taalum wilaya ya Temeke Rehema Mbwillo.
Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya UNESCO Profesa Elizabeth Kiondo(kushoto) akikabidhi vitabu vya masomo ya sayansi na vifaa mbalimbali vya maabara kwa ajili ya Shule ya Sekondari ya Barabara ya Mwinyi ya wilayani Temeke. Vifaa hivyo vimegharimu shilingi milioni 18. Anayepokea vitabu hivyo ni Afisa Elimu Taalum wilaya ya Temeke Rehema Mbwillo.
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Barabara ya Mwinyi akiwa katika sherehe fupi ya kupokea vitabu vya sayansi, komputya na vifaa vya maabara kutoka UNESCO. Vifaa hivyo vimetolewa leo jijini Dar es salaam na Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya UNESCO Profesa Elizabeth Kiondo. Vifaa vyote vinathamani ya shilingi milioni 18.Picha na Tiganya Vincent, Dar

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad