HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, May 9, 2011

NAFASI ZA KAZI

Duka moja kubwa la jijini Dar es salaam, linatangaza nafasi tano (5) za kazi
kwa waombaji wenye sifa
zifuatazo:

1. Msichana/mwanamke mwenye umri wa kuanzia miaka 18 na 30.
2. Elimu kidato cha nne, sita na kuendelea.
3. Aweze kuongea na kuandika kwa ufasaha lugha za kiswahili na
kiingereza.


Fika ofisini kwetu ukiwa na barua yako ya maombi iliyo
ambatanishwa na C.V yako kwa ajili ya usaili. kwa watakao fanikiwa wataanza kufanya kazi next day!
Kwa maelezo zaidi Piga simu 0713 60 83 83 au 0756 60 83 83

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad