HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 18, 2011

MAMBO YALIVYOKUWA JIJINI DAR LEO MARA BAADA YA KUPIGA MVUA YA MUDA MFUPI

Maeneo ya Bamaga
Maeneo ya Tandale Chama
Eneo la Ilala soko la Mchikichini
Eneo la kwa Mtogole
Msela akijichotea maji ambayo haikufahamika mara moja alikuwa anaenda kuyafanyia nini??maana haya maji ni machafu sana.
Yaani Full Maji kila kona.
Biashara leo hakuna maana maji yamejaa mpaka basil

3 comments:

  1. Tunasubiri kusherehekea miaka 50 ya uhuru!!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  2. Sasa hali hii magonjwa ya kuambukiza yataisha kweli,poa lakini naona jamaa anavua kambare barabarani.

    ReplyDelete
  3. Dar bila madibwi na vijito vidogo wakati wa mvua haiwezekani kabisa!!

    ReplyDelete

Post Bottom Ad